England

England imepoteza mechi yake ya mwisho kabla ya kuanza kwa michuano ya kombe la Mataifa Ulaya EURO 2024 kufuatia kipigo cha 1-0 dhidi ya Island katika dimba la Wembley Stadium (London).

FT: England 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 0-1 🇮🇸 Iceland
⚽ Thorsteinsson 12’

Wiki moja kabla ya kuanza kwa EURO 2024 Ujerumani imehitimisha maandalizi ya michuano hiyo kwa ushindi dhidi ya Ugiriki katika Borussia-Park (Mönchengladbach)

FT: Ujerumani 🇩🇪 2-1 🇬🇷 Ugiriki
⚽ Havertz 56’
⚽ Gross 89’
⚽ Masouras 24’

HABARI HIZI ZINAPATIKANA KATIKA APP YA SOKALEO, BONYEZA HAPA KUIDOWNLOAD

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here