HABARI MPYA
AHMED ALLY…UBAYA UBWELA HADI AGOSTI 8..SIMBA NA YANGA
BAADA ya Kutambulisha jezi mpya za Ubaya Ubwela wa Simba uliozinduliwa Julai 24 ukizidi kuwa gumzo kila kona kutokana na ubunifu wake pamoja na nembo ambazo...
MAGAZETI YA MICHEZO TANZANIA LEO JUMAMOSI JULY 27, 2024
Pitia kurasa za Magazeti ya Michezo Tanzania leo Jumamosi July 27, 2024 pata taarifa mbali mbali katika magazeti ya Michezo na ujipatie nakala yako...
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo July 26, 2024
Pitia kurasa za mbele za magazeti ya Tanzania kitaifa na kurasa za kimichezo pamoja na gazeti la Michezo ya leo July 27, 2024 na...
TUZO ZA TFF HAZIPIGIWI KURA, PUUZIENI LINK ZINAZOSAMBAA
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) ‘TFF Awards 2024’ limethibitisha kuwa halfa za kukabidhi tuzo hizo zitafanyika Agosti Mosi, 2024 katika ukumbi wa...
Manchester United kumuajiri Andreas Georgson kama kocha wa ‘set-piece’
Kocha Msweden, Andreas Georgson ambaye aliwahi kufanya kazi na klabu ya Arsenal anatarajiwa kujiunga na Manchester United hivi karibuni.
Kwa mujibu wa ripoti kutoka Norway...
SIMBA YAIGALAGAZA YANGA KWA KIUNGO HUYU
BAADA ya watani wa jadi kugombania saini ya kiungo wa JKT Queens, Amina Bilal hatimaye Simba Queens imefanikiwa kuizidi akili Yanga Princess na kumnasa mchezaji huyo...
SIMBA WARUDI NA MIL 600 TZ KUMPATA MPANZU
INAELEZWA kuwa Mabosi wa Simba wamerudi tena kwa mara nyingine wakifosi zaidi kuinasa ya mchezaji wa AS Vita Elie Mpanzu.
Simba hadi jana walikuwa wametuma ofa...
GAMONDI AWAFAGILIA DUBE NA BALEKE
KOCHA Miguel Gamondi anashindwa kujizuia na kuchekelea kimtindo namna washambuliaji wapya wa timu, Prince Dube na Jean Baleke walivyoanza maisha ndani ya timu hiyo, akisema namna...
KIBU AMKANA CARLOS “ALIJIPENDEKEZA TU, SIMJUI”
"Carlos alimtafuta Kibu amsimamie, Kibu aliona aibu kusema kwamba ana meneja wake (mimi). Carlos akaanza kuzungumza kabla ya ruhusa ya Kibu mwenyewe. Carlos baada...
CV YA CEO MPYA WA SIMBA NI HATARI
RASMI uongozi wa Simba umemtangaza Uwayezu Francois Regis raia wa Rwanda kuwa Mtendaji Mkuu (CEO) wa klabu hiyo kuanzia Agosti 1, 2024 mara mkataba...
MABINGWA WA BONGO WAIVUTIA KASI KAIZER CHIEFS
MABINGWA wa Ligi Kuu Tanzania Bara msimu wa 2023/24 Yanga wapo tayari kuwakabili Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini kwenye mchezo wa Toyota Cup.
Yanga wapo katika viwanja vya...
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo July 26, 2024
Pitia kurasa za mbele za magazeti ya Tanzania kitaifa na kurasa za kimichezo pamoja na gazeti la Michezo ya leo July 23, 2024 na...
MAGAZETI YA MICHEZO TANZANIA LEO IJUMAA JULY 26, 2024
Pitia kurasa za Magazeti ya Michezo Tanzania leo Ijumaa July 26, 2024 pata taarifa mbali mbali katika magazeti ya Michezo na ujipatie nakala yako...
VITAL’O DHIDI YA YANGA KUCHEZA UWANJA WA AZAM COMPLEX
Kwa taarifa za awali ni kwamba mechi za kimataifa za hatua ya awali kati ya Vital’O ya Burundi na Yanga SC ya Tanzania, zinaweza...
PSG wanaitaka saini ya Désiré Doué kwa dau la Euro milioni 60
Klabu ya PSG inapanga kutoa ofa yake ya pili leo kwa ajili ya kumsajili mchezaji Désiré Doué wa Klabu ya Rennes ya Ufaransa kwa...