Jose Mourinho

Kocha Jose Mourinho yupo kwenye mazungumzo na Chama cha soka cha Cameroon kwenda kuinoa timu ya taifa hilo jambo ambalo linaonekana kupiga hatua kubwa

Mourinho anatafuta changamoto mpya baada ya kutimuliwa katika klabu ya AS Roma mnamo Januari 2024, kufuatia mfululizo mbaya wa matokeo ligi kuu Italia .

Endapo mazungumzo yakienda sawa anaweza kuchukua mikoba ya kuinoa timu hiyo ingawa mshahara unatajwa unaweza kuwa kikwazo.

HABARI HIZI ZINAPATIKANA KATIKA APP YA SOKALEO, BONYEZA HAPA KUIDOWNLOAD

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here