Dortmund

Borussia Dortmund imetinga nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya kufuatia ushindi wa jumla wa 5-4 dhidi ya Atletico Madrid kwenye robo fainali.

FT: Dortmund 🇩🇪 4-2 🇪🇸 Atletico Madrid (Agg. 5-4)
⚽ Brandt 34′
⚽ Maatsen 39′
⚽ Fullkrug 71′
⚽ Sabitzer 74′
⚽ Hummels (og) 49′
⚽ Corea 64′

Dortmund itachuana na PSG kwenye nusu fainali.

HABARI HIZI ZINAPATIKANA KATIKA APP YA SOKALEO, BONYEZA HAPA KUIDOWNLOAD

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here