Shirikisho la soka Afrika CAF limemfungia kocha wa Morocco Walid Regragui mechi nne na hii imekuja baada ya kutokea kwa vurugu kwenye mchezo wao dhidi ya Congo

Hata hivyo shirikisho la soka Morocco limesema litakata rufaa kupinga uamuzi huo .

Morocco wamepata ushindi wa bao 1 – 0 dhidi za Zambia katika mchezo wa kumaliza kundi F, matokeo yaliyowafanya wamalize katika kundi na Point 7, hadi muda huu hakuna taarifa kama adhabu itaanza leo au kwenye mchezo ujao

HABARI HIZI ZINAPATIKANA KATIKA APP YA SOKALEO, BONYEZA HAPA KUIDOWNLOAD

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here