KITAIFATETESI ZA USAJILI

BABU ONYANGO KUELEKEA DODOMA JIJI

Dodoma Jiji FC inatajwa kuiwinda saini ya mlinzi wa zamani wa Simba SC, Joash Onyango raia wa Kenya ambae alikuwa akiichezea Ihefu FC Kwa mkopo akitokea Simba.

Taarifa za ndani kabisa zinaeleza kuwa ni pendekezo la kocha wa timu hiyo Meck Mexime.

Related Articles

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button