Cedric Kaze Yanga

Kocha wa Zamani wa Yanga SC, Cedric Kaze kuelekea mchezo wa Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika kati ya Yanga dhidi ya Mamelodi Sundowns amewapa ushindi Mamelodi bila uoga

“Kuanzia msimu huu umeanza Yanga haijawahi kubadili aina yake ya uchezaji.. hii mechi itakuwa nyepesi kwa Mamelodi japo ushindani utakuwepo kwasababu timu zote mbili zinaweza kumiliki mpira na kupiga pasi nyingi..” amesema Kaze

HABARI HIZI ZINAPATIKANA KATIKA APP YA SOKALEO, BONYEZA HAPA KUIDOWNLOAD

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here