Banyana Banyana

Kikosi cha Timu ya Taifa ya wanawake ya Afrika Kusini (Banyana Banyana) tayari kimewasili nchini Tanzania kwaajili ya kucheza mchezo wa kutafuta kufuzu kucheza michuano ya Olimpiki ya 2024 dhidi ya Timu ya Taifa ya Wanawake (Twiga Stars).

Mchezo huo utapigwa kesho Ijumaa majira ya saa 10 jioni katika Dimba la Azam Complex, Chamazi.

HABARI HIZI ZINAPATIKANA KATIKA APP YA SOKALEO, BONYEZA HAPA KUIDOWNLOAD

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here