KITAIFA

ONYO LATOLEWA KWA ATAKAYEMSAJILI KIBU DENNIS

BOSI wa Simba, kwenye idara ya Habari na Mawasiliano Ahmed Ally ameweka wazi kuwa timu ambayo itamsajili mchezaji wao Kibu Dennis itafilisiwa kwa kuwa bado mchezaji huyo ana mkataba na timu hiyo inayonolewa na Kocha Mkuu, Juma Mgunda.

Related Articles

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button