CRDB Federation Cup

NI raundi 16 kwa sasa imefika kwenye ushindani wa mashindano ya CRDB Federation Cup iliyobadilishwa jina rasmi Aprili 2 2024 baada ya mdamini mkuu kupatikana. Ikumbukwe kwamba awali mashindano hayo yalikuwa yanaitwa Azam Sports Federation.

Mabingwa watetezi wa taji hilo ni Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Miguel Gamondi hii hapa ratiba kamili itakavyokuwa kwa kila timu kusaka ushindi namna hii:-

Aprili 3 2024
Geita Gold v Rhino Rangers

Aprili 4 2024
Singida Fountain Gate v Tabora United

Aprili 5 2024
Coastal Union v JKT Tanzania

April 6 2024
KMC v Ihefu

Aprili 7 2024
Azam FC v Mtibwa Sugar

Aprili 9 2024
Mashujaa v Simba

Aprili 10 2024

Dodoma v Yanga

HABARI HIZI ZINAPATIKANA KATIKA APP YA SOKALEO, BONYEZA HAPA KUIDOWNLOAD

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here