KIMATAIFA

AL AHLY WAPO MBELE YA MUDA

Mabingwa Afrika Al Ahly tayari wameianza safari ya kurejea nchini Misri baada ya kumaliza mchezo wao wa jana dhidi ya Simba.

Kuonesha umuhimu wa mchezo wa mkondo wa pili utakaopigwa Aprili 5 mwaka huu, mapema leo timu hiyo ilianza safari ya kurejea nyumbani kwenda kujiandaa na mchezo huo.

Mabingwa hao wakihistoria wa Ligi ya Mabingwa Afrika wataingia kwenye mchezo wa mkondo wa pili wakiwa na uongozi wa bao 1-0 ushindi waliopata jana Dar es Salaam.

Related Articles

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button