KIMATAIFA

RONALDO KUIKOSA INTER MIAMI ANAYOCHEZA MESSI

Kocha Luis Castro wa klabu ya Al Nassr nchini Saudi Arabia, amethibitisha kuwa mchezaji nyota Cristaino Ronaldo (38) ataikosa mechi ya kirafiki dhidi ya Inter Miami ya Marekani kutokana na kuendelea na matibabu ya majeraha yake.

Mechi hio ya kirafiki itachezwa Februari, 01 katika mji wa Riyadh, Saudi Arabia. Ikumbukwe kuwa klabu ya Inter Miami ndiyo klabu anayochezea mshindani wake wa soka kwa muda mrefu Lionel Messi (36) kwa sasa.

Je, Ronaldo ameiogopa mechi?

Messi

Related Articles

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button