LATEST POSTS

LEO NI VITA YA SAMATTA NA POGBA KATIKA LIGI YA UFARANSA

0
Nahodha wa Timu ya Taifa ya Tanzania Mbwana Ally Samatta anatarajia kucheza mechi yake ya kwanza kwenye Ligi Kuu Ufaransa wakati klabu yake ya...

NEO GIFT MAEMA AMEICHAGUA SIMBA

0
"Tulipokea ofa nyingi sana za hapa Afrika kusini kutoka kwa vilabu kama Kaizer Chiefs,Orlando Pirates na vingine vingi lakini vya nje ya Afrika kusini...
Mwakinyo

MWAKINYO – “NIKO TAYARI KUCHEZA, LAKINI NINACHOTAKA KULIPWA NILIPWE”

0
Anayetaka kuliona pambano langu dhidi ya bondia wa ndani anifuate mimi tuzungumze na asipite kwa mtu mwingine yeyote. Niko tayari kucheza lakini lazima ninachotaka...
Wallace Karia

WALLACE KARIA MINNE TENA KULIONGOZA SOKA LA TANZANIA

0
Wajumbe wa mkutano mkuu TFF wamemthibitisha Wallace Karia kwa kumpigia kura za ndio kwa asilimia 100 kuwa Rais wa soka Nchini kwa miaka mingine...
Taifa Stars

TAIFA STARS KAZINI TENA KWA MKAPA CHAN 2024

0
VINARA wa kundi B Tanzania kesho watakuwa kazini kwenye msako wa pointi tatu dhidi ya Afrika ya Kati mchezo unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa. Stars...
azam fc

AZAM FC YAMALIZA KAMBI KARATU KWA KUTEMBELEA NGORONGORO

0
Leo Alhamisi, kikosi cha Azam FC kikiwa Karatu, mkoani Arusha, kimehitimisha kambi yake ya wiki mbili ya maandalizi ya msimu mpya kwa mtindo wa...
sancho

WINGA SANCHO KUTIMKIA AS ROMA YA ITALIA

0
Winga wa Manchester United, Jadon Sancho, yuko kwenye hatua za mwisho za kujiunga na AS Roma kwa mkopo wa mwaka mmoja.Kwa mujibu wa taarifa,...
Tpbrc

NYEMBERE ATEULIWA KUONGOZA KAMATI YA MUDA “TPBRC”

0
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Profesa Palamagamba Kabudi, amemteua mtangazaji wa #AzamTV, Patrick Nyembera kuwa Mwenyekiti wa Kamisheni ya Ngumi za Kulipwa nchini...
baleba

BRIGHTON YAENDELEA KUSHIKILIA BOMBA BALEBA KWENDA MAN UTD

0
Brighton inahitaji Pauni 100 milioni ili kumuuza kiungo wao wa kati Carlos Baleba, 21, baada ya Manchester United kuonyesha nia ya kumsajili. Baleba, aliyesajiliwa kutoka...

TETESI ZA SOKA ULAYA LEO IJUMAA 15-08-2025

0
Manchester United wanapanga mpango wa pauni milioni 50 kumnunua kiungo wa kati wa Sporting na Denmark Morten Hjulmand, 26, iwapo watamkosa mchezaji wa kimataifa...
Chelsea

WACHEZAJI WA CHELSEA WATOA BONASI ZAO KWA FAMILIA YA DIOGO JOTA

0
Wachezaji wa klabu ya Chelsea wameamua kutoa sehemu ya bonasi zao za ushindi wa Kombe la Dunia ngazi ya Klabu kwa familia za wachezaji...
Neo Maema

CHUMA CHA SIMBA, NEO MAEMA KIMEAGWA RASMI MAMELODI

0
Timu ya Mamelodi Sundowns imemuaga rasmi mchezaji wao, Neo Maema aliyetumikia klabu hiyo kwa muda wa miaka 4. Kwa sasa, Maema yupo kambini na timu...
Pogba

POGBA KUREJEA UWANJANI, AANZA MATIZI NA AS MONACO

0
Mchezaji maarufu wa kimataifa, Paul Pogba, amefanya mazoezi yake ya kwanza rasmi na wenzake wa klabu ya AS Monaco, kufuatia kujiunga kwake na klabu...
feisal

MSHAHARA WA FEISAL SALUM UNATAJWA KUWA TISHIO

0
MSHAHARA wa kiungo wa Tanzania ambaye anacheza ndani ya kikosi cha Azam FC kinachotumia Uwanja wa Azam Complex kwa mechi za nyumbani unatajwa kuwa...

YANGA YATOA UFAFANUZI KUHUSU MCHANGO WA CCM WA SHILINGI MILIONI 100

0
Uongozi wa Yanga SC umetoa ufafanuzi kuwa mchango wa Shilingi milioni 100 uliotolewa CCM tarehe 12 Agosti 2025, ulitolewa na GSM Foundation inayosimamiwa na...
Simba

SIMBA YASHUSHA RASMI CHUMA KIPYA

0
Klabu ya Simba imemtambulisha rasmi mchezaji Naby Camara raia Guinea kuwa mchezaji wao kwa mkataba wa miaka miwili akitokea Al Waab ya Qatar aliyojiunga...

ODDS KUBWA NA USHINDI WA AJABU NA BET BOOST YA MERIDIANBET

0
Ukiwa muwekezaji mzuri wa kubashiri michezo, basi unatambua kwamba kila nafasi ya kuongeza ushindi unayoipata ni kama dhahabu. Meridianbet, kwa kulitambua hilo inawapa wateja...
tetesi za soka ulaya

TETESI ZA SOKA ULAYA LEO ALHAMISI 14-08-2025

0
Manchester City wanafikiria namna ya kuuteka nyara uhamisho wa Chelsea wa kumnunua winga wa RB Leipzig wa Uholanzi Xavi Simons, 22. (Sport) Brighton watahitaji zaidi...

TUNA MATUMAINI IBENGE ATATUPELEKA HATUA YA MAKUNDI – HASHEEM IBWE

0
Ofisa Habari wa klabu ya Azam FC, Hasheem Ibwe, amesema moja ya uwekezaji mkubwa wa maana ilioufanya msimu huu ni kumpata, Florent Ibenge, ambaye...

LATEST POSTS

ZILIZOSOMWA ZAIDI WIKI HIII